Unaweza kuona kama masiara ila wadau wa humu ndio wamenisaidia sana nini nifanye na nini kina madhara... Nilichofanya Mimi sikuwaza nyumba itachukua gharama kiasi gani wadau waliniambia huku, ulifanya hivyo hautojenga. Mimi niliuliza maswali machache mengi nilipitia watu wa huku walivyouliza.na...
3.8m haijapungua hapo, la msingi ni kuanza hizi gharama sa nyingine zinawakatisha watu tamaa nilisoma na kupata mawazo hukuhuku wanajamii walinisaidia.. ungeweza kuwa chini ya hapo ila msingi si wa kuzembea unatakiwa uwe imara kweli
Nakumbuka niliomba ushauri hapa na nikaanza ujenzi kidogokidogo, kwenye jamvi hili pakawa dira yangu Kila ninalotaka kufanya.. Kila hatua nilipata mrejesho hukuhuku nini nifanye pia kwa kupitia na post za wengine.
Kwa sasa nimehamia kwangu japo ndani Bado sijafanya finishing ila Nina amani...
Nimeezeka na hayo mabati nilitaka alaf ila kipindi hicho sikufanikiwa niliendaa hadi Arusha material hayakuwepo, Kuna mtu Baki ambaye hana maslai na hiyo kampuni alinishauri kama nitaenda sehemu nyingn niende San bank in such walinipa warranty mwaka wa pili huu ni muda mchache kujudge ila yapo...
Nataka kuhamia kwangu mwaka huu nimepiga nyumba plasta Bado kuweka vifaa vya umeme awamu ya pili, Bado draft na vingine vingi.. je nikitafuta hela ya madirisha yanaweza kuwekwa bila kufanya skimming ili nihamie mengine nitaendelea nayo taratibu? Na je kabla ya kuweka madirisha ya aluminium ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.