Epuka Udanganyifu:-
Mkopo wa Tai Five dhidi ya CRDB ni Milioni Mia Nane na Kumi ( Tsh 810,000,000 ) na tayari imelipwa Bilioni Moja na Milioni Mia Nne ( Tsh 1,400,000,000).
Mkopo huo ulichukuliwa kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Biashara MWADECO COMPLEX, Jengo ambalo Halmashauri ya Jiji la Mwanza...