Recent content by ISAYA JACKSON

  1. I

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    mimi nadhani bora kwa sasa ungeenda kujiandikisha pale TAESA opposite na D.I.T ili wakutafutie intern ujishikize kwa kuanzia ukiwa huko ni rahisi kupata mchongo kuliko kukaa nyumbani maana wao wenyewe huwa wanatoa posho na huko utakapo pangiwa kufanya huwa pia wanakupa posho
  2. I

    Natafuta duka linalouza vitabu vya risiti

    Salama tu kwema? Hivyo huwa unatoa oda unatengenezewa kwa dizain unayotaka wewe check na huyu mama huwa ananitengenezeaga kwa bei ya kuku 0685-627 271.
  3. I

    Usindikaji bora wa maziwa

    Habari, Naomba muongozo sahihi juu ya usundikaji bora wa maziwa mgando kwa kutumia culture.
Back
Top Bottom