Recent content by Isalia

  1. Isalia

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, Huu Ndio Wakati wa Kusikiliza Sauti za Watanzania

    Kusikiliza sauti za watanzania au kusikiliza sauti kanisa na watanganyika
  2. Isalia

    JamiiForums Tanzania Ukiwaangalia Wanavyoshupaza shingo kutetea Palestina asionewe na Israel alafu ukiona Wanavyotetea Wauaji CCM utaelewa hakuna Masheikh pale.

    Sasa ulitaka mashehe waseme nini wakisema wao ati dini isiingizwe na siasa na kuwekwa ndani mfano uamsho na shekhe ponda ila wakisema wakiristo ni sawa wanatetea haki, ni haki gani wanayotetea wakati mtu kafika kusema ataanzisha uasi nchini bado aachwe tu mbona uamsho hawakufikia hiyo hatua...
  3. Isalia

    JamiiForums Tanzania Serikali haioni huu utapeli wa wachungaji? Au wao ya kwao mazuri hivyo wananchi watajijua wenyewe?

    Watajijua wenyewe wajinga ndio waliwao tukiwambia waje kwenye dini haki wanakaa wakidanganyana kule ati magaidi na wanafuga majini
  4. Isalia

    JamiiForums Tanzania Si kwa ajili ya ubaguzi, bali namshauri Rais Samia aepuke kufanya maamuzi makubwa ya muda mrefu yanayohusu upande wa Tanzania bara peke yake

    Je hiyo moja kwa mawazo yako wewe ndio itakuwa na usawa au kuzidisha udikteta kwa upande wa zanzibar kufuta utambulisho wao kutimiza lengo lilowekwa
  5. Isalia

    JamiiForums Tanzania Si kwa ajili ya ubaguzi, bali namshauri Rais Samia aepuke kufanya maamuzi makubwa ya muda mrefu yanayohusu upande wa Tanzania bara peke yake

    Sijui kwanini watanganyika wengi hawataki serekali yao wapo tu kuishikilia zanzibar
  6. Isalia

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

    Ukiwa na akili kupinga kila kitu huwezi ukamuelewa makonda nini lengo lake ingawa ameliweka wazi lakini ndio dunia akili hazifanani
  7. Isalia

    JamiiForums Tanzania Nilipata mshtuko jana nilipokuwa naangalia habari TBC1 na kuona Makamu wa Rais anaongea jambo kana kwamba hakijui cheo chake

    Daah hii ndio tz ukiwa mpole mwenye busara shida na ukiwa mbabe mwenye maamuzi magumu kama magu dikteta sijui tunataka nini
  8. Isalia

    JamiiForums Tanzania Video: Ubishani ni Zanzibar ni nchi au siyo? Wenzenu upande wa Zanzibar ni Wazanzibari au Watanzania? Wasira, Rais Samia vs Tundu Lissu: Nani mkweli?

    Sasa umeeleweka juu ya zanzibar kiukweli chuki imekujaa juu ya zanzibar na hutamani hata uwepo wa zanzibar lakini ishatokezea tu na huna uwezo wa kuifuta hata nyerere alisema kama angekuwa na uwezo angevitupa mbali sana na tanganyika w
  9. Isalia

    JamiiForums Tanzania CCM na Muungano vyote havitakiwi na Wazanzibari; kwa nini wanalazimishwa?

    Lakini vile vile kumbuka unguja na pemba hawakuungana kama ilivyo shinyanga na mtwara
  10. Isalia

    JamiiForums Tanzania Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?

    Na wewe ndio wale wale tu huo uzanzibar na uislamu ndio unao waumiza watanganyika wengi na ndio moja wapo ya sababu inayoifanya tanganyika kuikalia zanzibar na kuiamulia kila kitu Lukuvi alilisema hili kanisani na tulilisikia sote
  11. Isalia

    JamiiForums Tanzania Mpwapwa: Tundu Lissu apokelewa kwa kishindo, Afundisha Wananchi kuhusu Muungano, wote wamuelewa

    Kwa walio soma cuba tumekuelewa mtoa posti nini ulimaanisha ahsante kwa taarifa
  12. Isalia

    JamiiForums Tanzania Uhasama wa Tanzania bara na Zanzibar unazidi kukua na utaleta madhara makubwa kama yanayosemwa hayatashughulikiwa

    Yes, ukweli wanajaribu kuficha maradhi lakini tuendako sio mbali kifo kitatuumbua wamuulize jaji warioba wananchi wengi wanataka nini juu ya mfumo wa muungano lakini kuna nguvu kubwa inatumika kulinda muundo wa muungano,lakini mengi kwa upande ya tanganyika kudai serekali ya tanganyika...
  13. Isalia

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

    Kama wanapewa bure kwa nini wadaiwe na kuhusu kuweza kabla muungano zanzibar iliishia vipi maana muungano una miaka 60 na zanzibar ipo karne na karne baadhi ya mambo kusema zenji hawana uwezo ni fikiria ulizojengewa wewe watu wafanye wanachokitaka
  14. Isalia

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

    Lazima kuwashukuru watanganyika wenzako kwa kuitawala zanzibar kwa kivuli chake muungano maana huna hata kimoja hapo ulichoandika chenye ukweli ati umeme bure nani kakudanganya nenda zeco kaulize kwa mwezi wanawalipa shilingi tanesco 'na ndio maana wanafanya kila juhudi zenji isimiliki umeme...
  15. Isalia

    JamiiForums Tanzania Muungano uwe wa serikali moja tu, kama sio hivyo ufe tu

    Kwa sababu nchi kubwa kuzitawala nchi ndogo kwa kigezo cha muungano huku wao wakijifanya kuwapa serekali feki nchi ndogo huku wao wakichukua mamlaka yote muhimu ya kila nchi
Back
Top Bottom