Sasa ulitaka mashehe waseme nini wakisema wao ati dini isiingizwe na siasa na kuwekwa ndani mfano uamsho na shekhe ponda ila wakisema wakiristo ni sawa wanatetea haki, ni haki gani wanayotetea wakati mtu kafika kusema ataanzisha uasi nchini bado aachwe tu mbona uamsho hawakufikia hiyo hatua...
Sasa umeeleweka juu ya zanzibar kiukweli chuki imekujaa juu ya zanzibar na hutamani hata uwepo wa zanzibar lakini ishatokezea tu na huna uwezo wa kuifuta hata nyerere alisema kama angekuwa na uwezo angevitupa mbali sana na tanganyika
w
Na wewe ndio wale wale tu huo uzanzibar na uislamu ndio unao waumiza watanganyika wengi na ndio moja wapo ya sababu inayoifanya tanganyika kuikalia zanzibar na kuiamulia kila kitu Lukuvi alilisema hili kanisani na tulilisikia sote
Yes, ukweli wanajaribu kuficha maradhi lakini tuendako sio mbali kifo kitatuumbua wamuulize jaji warioba wananchi wengi wanataka nini juu ya mfumo wa muungano lakini kuna nguvu kubwa inatumika kulinda muundo wa muungano,lakini mengi kwa upande ya tanganyika kudai serekali ya tanganyika...
Kama wanapewa bure kwa nini wadaiwe na kuhusu kuweza kabla muungano zanzibar iliishia vipi maana muungano una miaka 60 na zanzibar ipo karne na karne baadhi ya mambo kusema zenji hawana uwezo ni fikiria ulizojengewa wewe watu wafanye wanachokitaka
Lazima kuwashukuru watanganyika wenzako kwa kuitawala zanzibar kwa kivuli chake muungano maana huna hata kimoja hapo ulichoandika chenye ukweli ati umeme bure nani kakudanganya nenda zeco kaulize kwa mwezi wanawalipa shilingi tanesco 'na ndio maana wanafanya kila juhudi zenji isimiliki umeme...
Kwa sababu nchi kubwa kuzitawala nchi ndogo kwa kigezo cha muungano huku wao wakijifanya kuwapa serekali feki nchi ndogo huku wao wakichukua mamlaka yote muhimu ya kila nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.