Huu Uzi umekuja baada ya makanisa kumuombea TL and therefore hizi ni siasa za maji taka! Kumbuka makanisa yamesamehewa kodi kwa huduma wayotoa mfano elimu, afya ya roho na mwili na pia uchumi.
Vipi kuhusu kesi hukumu ya kwenda jela maisha kwa BABU SEA na watoto wake wote! Kesi ambayo iliamuliwa kukiwa mashaka lukuki. Vipi kuhusu Mbunge Lema kuwekwa mahabusu zaidi ya miezi mitatu bila sababu za msingi. Vipi kuhusu mgogoro was CUF? Jaji ameanza sihasa(siasa)!
Swadakta! Kutokana na matukio ya nyuma, kuna kila sababu ya kumhisi bashite; mosi ni kumshambulia mzee Warioba kwenye mdahalo wa rasimu ya katiba mpya, kuvamia clouds na kutekwa Roma Mkatoliki
Swali lingine; Nina nani anataka kumuua Lissu? Motive ya kumuua Lissu ni nini?
(a) Kumyamazisha kwa sababu anaikosoa sana na kuiumbua sirikali.
(b) anatishia wadhifa au maslahi ya kiongozi kwenye chama kwa umaarufu wake?
(b)
Mkuu hujaelewa mini sasa! Ikiwa wadunguaji waliweza kufanya shambulizi Dodoma mjini tens mchana kweupe wakitumia silaha ya kivita, watashindwa vipi kupenya muhimbili ambapo had I madaktari fake walishapenya! Na isitoshe adui bado ni kitendawili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.