Mtendahaki hujui hata nini kinajadiliwa hapa. Hatuijadili cdm hapa tunaangalia perfomance ya zzk kipindi chake cha kisiasa na misimamo yake ilivyotetereka
Kuna watu wanapaswa waaishie kwenye ngazi flan za uongozi, hii inatokana na uwezo wao mdogo wa kubeba majukum, kama mtu ni mwoga basi ubora wake unaoonekana kwa sasa ni kwa sababu anariport kwa mtu. Aishie hapo tu. Atafutwe mtu mwingine mwenye kifua cha kufanya maamuzi mazito.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.