Kiukweli kukamatwa kamatwa kwa wapinzani Tanzania hapa kukiendelea hivi selikali inachangia kwa upana kuukuza upinzan hasa chadema.kwakuwakamata nakuwadhibiti kidola hakutasaidia naona watafute njia nyingine ya kuwadhibiti haswa kisela ila sio kuzuia mikutano na kupelekwa sero kila iitwapo leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.