Recent content by Is-haka muhunzi

  1. Is-haka muhunzi

    Ni Kozi ipi ya Computer ina soko kwa sasa?

    Ni kozi nzuri! ila inahitaji utundu wa ziada plus muongozo kutoka kwa walimu vyuoni. Naweza kusema same To computer science ila huku unajikita zaidi katika kutengeneza mifumo ya kuhifadhi taarifa kidigitali #Coding.... Apart na kutengeneza mifumo Unaweza kuwa mtaalamu wa Mambo mengi Kama vile...
  2. Is-haka muhunzi

    Ni Kozi ipi ya Computer ina soko kwa sasa?

    Information system management
  3. Is-haka muhunzi

    Mkopo awamu ya pili tayari au bado

    Ni janga la wengi hakikaa tuzidi kumuomba mungu na kuwa na subra kwan tar21 bado haijaisha ...
  4. Is-haka muhunzi

    Msaada: Taarifa za information systems management

    Wewe naona ushamaliza au sio!?ila hakuna kinacho shindikana bro kikubwa mapambano iyoo PC ni basic requirements Tumeona almost Tumeona prospectus inataka nini mpka sasa hakuna anaeogopa apo pagumu lakni watu wanafauru kwanini sisi Tutishikee Then izo ni Negatives notion kwamba ardhi chuo kigumu...
  5. Is-haka muhunzi

    Msaada: Taarifa za information systems management

    I real Appreciate this course! Oyaa chuo gani wew tujuanee bana mimi naenda ardhi. Wew upo selected wapi!?
  6. Is-haka muhunzi

    Ardhi University(ARU) - Special Thread

    habari zenu ndugu zangu napenda kujuzwaaa kuhusu mazingira ya chuo apo.na kwa upandee wa hostel ukoje au mAisha ya kupanga ukiwa first years naombeni muongozo wenu na ufafanuzi kuhusu ardhi university
  7. Is-haka muhunzi

    Ardhi University(ARU) - Special Thread

    Sjakuelewaa mkuu! Naomba ufafanuzi mfano ada 1mil na lak1 sasa apoo kwa upandee wa ulipaji kama upo sponsed by loan board unalipa shingapi!?
  8. Is-haka muhunzi

    Ardhi University(ARU) - Special Thread

    Habari wadau! Napenda kuuliza kuhusu Registration katika chuo cha ardhi kwa first years ambao Tupo sponsed by loan board upande wa ada yani first instalment ni lazima kulipa yote au inakuaje Naomba muongozo wenu wajuzi wa hili mimi niko selected in *Bachelor of science in information systems...
  9. Is-haka muhunzi

    Bachelor of science in information Technology IFM

    Habari zenu wakuu! Mimi ni miongoni wa wachaguliwa katika kozi tajwa apo naombeni #hits na mambo ya kuzingatia katika safari yangu hii katika chuo tajwa na upande wa mazingira ya chuo kama vile hostel MIM MKAZI WA DAR Gmboto .
  10. Is-haka muhunzi

    First round selection

    [emoji23][emoji23][emoji23] GOD'S PLANNING tujifunzee kujiamini na sio wanavyo viamini watu baki hatima sahihi ya maisha ya mwanadamu iko kwa mungu yani DREAMS/PASSION + EFFORT + prayers =Successfully.
  11. Is-haka muhunzi

    First round selection

    That's how we define life.Ukiwa na passion kwa ulichonacho ni rahisi kukiangaikia kuliko kusubiri fursa ikufwate Hivyo vijana tunapotea kusoma kozi kutokana na mawazo ya watu utasikia oooh!"KASOME AFYA INALIPA AU ENGINEERING " pasipo kujari passion kijana anasomea mawazo ya watu end of days...
Back
Top Bottom