Recent content by Irene Magoboka

  1. Irene Magoboka

    Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

    Muombe sana mungu katika sala zako akuondolee hiyo roho ya shetani mkuu.
  2. Irene Magoboka

    Nimesikitika sana taasisi yenye dhamana ya kusimamia Lugha ya Taifa (Kiswahili) kukosa jenereta pale unapokatika umeme

    Jana nilifika katika ofisi za BAKITA (Taasisi ambayo inabeba dhamana ya lugha ya Kiswahili inayotuunganisha sisi kama Watanzania). Nilichokiona kimenisikitisha sana. Nilihitaji kupatiwa huduma ya Tafsiri cha ajabu niliambiwa hakuna umeme ofisi nzima (kutokana na mgawo ambao unaendelea nchini...
Back
Top Bottom