Recent content by iRaphaa

  1. iRaphaa

    JamiiForums Tanzania Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

    Kaka ukiweza kutoka hapo pia unstahili hongera ila hii ni asili kabisa ya mwanaume na tumelelewa hivyo. Tangu utoto unaambiwa na baba na mama ila haswa baba na kaka wakubwa usilie ww mwanaume, jikaze. Basi inajengwa hvyo tangu asili. Sis wengine tukiwa wenyw ni walaini mno, tunalia hata kwa...
  2. iRaphaa

    JamiiForums Tanzania Wanawake muelewe hili, wanaume wana maumivu pia, tena yenye huzuni karibu ya kifo

    Hakika umenena vyema mno. Unastahili pongezi japo umejifunza kwa njia ngumu kidogo. Mimi huwa ni muwazi sana lakini najigundua bado siwezi kuwa muwazi wa kiasi hicho. Mwanaume ni kiongozi tangu asili, kwa mke na kwa watoto pia. Kinachotakiwa ni level fulani hv ya uelewa kwa huyu kiumbe maana...
  3. iRaphaa

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Na mm pia naomba kuunganishwa whatsapp kilimo cha matikiti, namb yang 0716237123
  4. iRaphaa

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Nimefuatilia kwa ukaribu thread hii ya kilimo cha matikiti maji,kwa kweli nimefurahishwa sana na uchangiaji wa mada.hii ukiifuatilia inaweza kabisa kukuhamisha kutoka kweny hali uliyonayo ya kifikra na hatimaye ya kiuchumi ukifanya kwa vitendo. Japokuwa awali kabisa nilikuwa na wazo hili...
Back
Top Bottom