Recent content by Invigilator

  1. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji581] 15 - 18 FEB. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  2. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa na Plizen ni wajinga mno, last week kaponea chupu chupu, kila akifunga goli linarudishwa, leo kaamua kulimwaga kabisa. Kwenye ligi yao cheza na Sparta Prague tu direct win. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  3. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu ukifanikisha usisite kushare njia uliyotumia maana hizi kampuni ni zina mfanano mkubwa, mmiliki atakuwa mmoja. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  4. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani hata mood ya kuendelea kucheza imekaa kabisa, maana nahisi siwezi hata ku concentrate tena kufanya uchaguzi sahihi, pesa naiona kama bonus tu. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  5. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Natumia Megapari Mkuu haina wakala. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  6. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni kweli kabisa Mkuu, nimejaribu ila ni wa hovyo haijawahi kutokea, nataka nirudishe tu pesa kwenye account nitafute odds kumi nistake pesa yote 1M (treni) la muda mrefu, nikipata sawa nikosa sawa. Imefikia stage akili imechoka kabisa. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  7. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani inashangaza sana Mkuu. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  8. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hahaha yaani leo hata ningetabiri vipi nisingekula chochote aisee, ni bahati tu sikujilipua. Kesho tutapiga pesa Mkuu mark my words. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  9. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na sasa ana red card juu. Naam, uko sahihi kabisa. Prediction sites nyingi zilimpatia nafasi kubwa ya ushindi maana standing na form yake ni nzuri mno, anasumbua hadi vigogo kwenye league yao, kina FCSB na CLUJ. Alikuwa na 61 winning percente kubwa kuliko hata FC PORTO leo, plus home advantage...
  10. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani ni patashika game 20 za mwisho walizocheza hivi karibuni wameshinda 2 tu tena last year, leo sasa [emoji23][emoji23] Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  11. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna Romania aisee, huu mchezo ukiwa na presha unaweza kufa aisee, angalia hawa watu. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  12. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani hao jamaa, team za Ureno, Italia seria B, France League 2, Span - Segunda, Scotland na miteam ya uarabuni aisee sio ya kuniweka kwenye mikeka ya kimkakati hata kidogo. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  13. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wale wa odds chache. Bilbao Win or win Draw Juventus win Either half Farul Constanta Win or Draw Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  14. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hahaha mzee wa kula kimasihara Fenebache ndio kaharibu mkuu 2:2, zingine zote zienda sawa. Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
  15. Invigilator

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimejaribu kuwasiliana nao wakaniambia tatizo liko Selcom, kuhusu kurudi wameniambia tuendelee kusubiri au tujaribu payment methods nyingine. Weke pesa (deposit) kisha unaistake pesa yote kwa odds zinazoanzia 1.1 then unaweza kuwithdraw zote zilizo kwenye account kwa njia hiyo mpya) me...
Back
Top Bottom