Recent content by investor

  1. I

    Top 5 ya urais 2015

    rais ni taasisi nyeti sana ya nchi. haiwezekani watu waigombee namna hiyo! Mungu atupe kiongozi anayetufaa ambaye sio kati ya hao ambao tunawaona wanajipanga kuingia ikulu kwa nguvu zao zote! ikulu sio pa kukimbilia namna hiyo! Mungu IBARIKI TZ...
  2. I

    Makongoro Mahanga ashinda kesi ya uchaguzi jimbo la Segerea

    Tunasubiri kwa hamu sana hiyo hukumu, kwa mdau yeyote atakayeipata atujuze mara moja tafadhali.... tunaomba haki itendeke na ionekane kutendaka... sio ushahidi upo wazi halafu hatupewi haki....
  3. I

    Kuna ushahidi wa kutosha kwamba waziri mkuu alibadilishiwa hotuba yake ya awali...

    Waziri Mkuu hakututendea haki kwa namna yeyote ile. kuanzia kauli ya Jenista Mhagama (katibu wa wabunge wa ccm) ya Ijumaa usiku na kauli yake mwenyewe ya jumamosi kwa waandisi wa habari. yaani hata kuzungumzia kwa ufupi tuu hilo sakata hakufanya hivyo.......
  4. I

    Wasifu wa Deo Filikunjombe

    Hili ni Jembe, ana ujasiri wa ajabu na unamsadia sana kufikia malengo yake! he is a risk taker!
  5. I

    Diwani wa Kata ya Sombetini (CCM, Arusha) ahamia CHADEMA

    safari ya ukombozi inaongezewa nguvu! Mungu ibariki Tanzania, Jambo la msingi na kubwa kuliko yote ni kuwa makini na hawa makada wanaohamia cdm! wengine wana lao jambo!
  6. I

    Jaji aliyetoa hukumu ya Lema ni nani haswa?

    Pia ikumbukwe kwamba hukumu ilivuja kama haijasomwa! watu walishajua Lema atapigwa chini!
Back
Top Bottom