Recent content by introvert

  1. introvert

    Waziri wa Kilimo Profesa Mkenda, unataka Rais Samia akubebeje?

    Bei ya mbolea imepanda sana kwenye soko la dunia. Hii si Tanzania tu. Prof. Mkenda au Bashe, hata mawaziri wabadilishwe, hawawezi kuzuia hilo ukizingatia Tanzania tunategemea mbolea kutoka nje, bei zikipanda nje na hapa lazima zipande. Njia iliyopo ni subsidies na kwa sasa kwa miradi...
  2. introvert

    Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

    Tanzania kwa sasa mteja mkubwa wa natural gas si viwanda wala sekta binafsi bali ni Serikali yenyewe kupitia Tanesco. Wakati huo huo Serikali inajenga JNHS, hivyo kupunguza utegemezi wa gas katika uzalishaji wa umeme. Viwanda vya sekta binafsi vinavyotumia gas ni vichache na hii inasababishwa...
  3. introvert

    Je, ni sahihi kwa kiongozi wa nchi kutumia jukwaa la dini (ibada) kutoa ujumbe kitaifa?

    Wakristu wakiongozwa na viongozi wao wa dini wameonyesha unafki na udini wa hali ya juu. Mtu anahutubia taifa kutokea kanisani. Aibu sana!
  4. introvert

    Je, ni sahihi kwa kiongozi wa nchi kutumia jukwaa la dini (ibada) kutoa ujumbe kitaifa?

    Ni mshamba asiyeelewa concept ya separation of church and state. Huyu si msomi ukilinganisha na watangulizi wake. Nyerere amesali St. Imaculate siku za kawaida, almost everyday, na hata siku moja hajasimama kuhutubia watu kanisani. Mkapa hivyo hivyo. Lakini huyu anaingia na kuhutubia na...
  5. introvert

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Mpelekeni hospitali aombee wagonjwa wapone muokoe budget ya wizara ya afya. MATAGA ni wajinga wa nchi.
  6. introvert

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Hamna kitu pale basi tu heshima ya koti la Urais inamlinda. Nje ya hapo ni mtu wa kupuuzwa.
  7. introvert

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Anasema watu wanakufa kwa mipango ya Mungu. Anajivua lawama kwamba hata watu wafe wangapi yeye hahusiki, hana uwezo wala jukumu la kuzuia hilo. Ana uwezo mdogo sana wa kufikiri na anawapa kazi sana wasaidizi wake. Nahisi wameamua wamuache tu!
  8. introvert

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Hii speech kwa aliyeisikiliza atajua tuna tatizo kubwa sana na huyu mtu.
  9. introvert

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Hpaana. Ni hawa washamba tu. Si Mwalimu, si Mkapa, ambao walikua wakatoliki haswa walitoa press baada ya misa. Ushamba ni tatizo haelewi concept ya separation of church and state. Haelewi Tanzania ni a secular nation.
  10. introvert

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Hii speech ya leo imeonyesha ni jinsi gani amelishwa conspiracy theories. Anaamini hii ni vita ya kiuchumi. Anaamini barakoa na chanjo zina malengo ya kutuathiri na si kutusaidia. Anaendeshwa na imani zake na hana ushahidi wowote. Anaamini yeye ndo anajua kuliko watu wote. Anaonekana hapendi...
  11. introvert

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Mwalimu na Mkapa kusali kwao kote St. Peters na St. Imaculate Upanga, hata siku moja hawajawahi kupanda madhabahuni na kuhutubia. Hata kutoa Press baada ya misa hawajahi kufanya. Hata siku moja huwezi kuona wanaenda kanisani na ma-camera. Ni wasomi wanaoelewa kanisani ni jambo lao binafsi...
  12. introvert

    Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

    True but 1995 unamskia Lyatonga analalamika kuibiwa tu na ITV filtered news. In 2020 unaona live kwenye social media askari na bags za kura feki. Even a doubting Thomas now believes.
  13. introvert

    Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

    Kushiriki kwao kumethibitisha hakuna tume kabisa achilia mbali the question of whether ni huru au la.
  14. introvert

    Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

    Huyu haondoki mpaka afe. Huu uchaguzi ni a step towards that..
  15. introvert

    Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?

    Kugomea uchaguzi wasingekua na ushahidi wowote kwamba uchaguzi si wa huru na haki mbele ya watu na international community. Kushiriki kumethibitisha tume si huru na pia Magufuli is another level of crazy. Pia, amefanikiwa kupanda mbegu za chuki kwa kuiiba kura / haki za watu.
Back
Top Bottom