Recent content by Introver

  1. Introver

    Neema ya Mungu

    Ubarikiwe sana mtumishi
  2. Introver

    Neema ya Mungu

    Ubarikiwe sana mtumishi
  3. Introver

    Epuka muhuri wa shetani

    JE! UNAJUA JAMBO GANI LITAMPATA MTU YULE, ALIYESIKIA UKWELI HALAFU HATAKI KUBADILIKA? Biblia inaeleza wazi kabisa kulingana na maandiko hayo hapo juu, Mtumwa yule aliyetangaziwa uhuru wake baada ya kutumika miaka 6 akakataa (Yaani akaona ni vyema kuendelea katika utumwa wake.). Jambo linalotokea...
  4. Introver

    Njia gani mtu aitumie aweze kushinda tamaa na vishawishi

    Amina🙏 Karibu sana ikiwa una swali lolote uliza
  5. Introver

    Njia gani mtu aitumie aweze kushinda tamaa na vishawishi

    Nakusalimu katika jina la Bwana Yesu, Ni swali ambalo linaulizwa na wengi, je ni kweli mtu anaweza kuzishinda tamaa za mwili? Au vishawishi vyake? Anaweza kweli kuacha dhambi ya uzinzi, au kujichua,au kutazama picha za ngono, au ulevi, au miziki, n.k.? Jibu la kibinadamu ni hapana! Na ndivyo...
  6. Introver

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Ndio Ipo njia unayoweza kuitumia kushinda uzinzi Nitaipost kwa kirefu kisha nikutag
  7. Introver

    Mwili ni kwa bwana na bwana ni kwa mwili

    Je Mungu anaangalia mwili na kuihitaji?.. jibu ni Ndio!.. maandiko yanathibitisha hilo wazi kabisa.. 1Wakorintho 6:13 “Vyakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa vyakula; lakini Mungu atavitowesha vyote viwili, tumbo na vyakula. LAKINI MWILI SI kwa zinaa, BALI NI KWA BWANA, NAYE BWANA NI KWA MWILI”...
  8. Introver

    Pengine Mungu alishasema nawe kwa njia hii

    Mbali na mtu kuona maono au kuota ndoto Kuna mambo mengine ambayo nimeshawahi kuona yakitokea kwa watu wengi, na wengine walikuwa wakiniuliza ni nini maana yake lakini wasifahamu, hata mimi mwenyewe yamenitokea mara nyingi, na sikujua maana yake mpaka Bwana alipokuja kunipa ufahamu wa kuelewa…...
  9. Introver

    Mwanzi uliopondeka

    Mathayo 12:20 “Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala utambi utokao moshi hatauzima, Hata ailetapo hukumu ikashinda. 21 Na jina lake Mataifa watalitumainia.” Wakati nautafakari huu mstari nikakumbua tukio lilotokea mahali nilipokuwa ninaishi kipindi cha nyuma, Nakumbuka wakati fulani tulipanda...
Back
Top Bottom