Duh miaka 19 umeshazaa hapo umebugi, kwanza hata yeye mwanaume anajifikiria na dhamira ivi kweli akipeleke kitoto cha miaka 19 kukitambulisha kwao halafu tayari kimeshazaa na mtoto wa miaka 1 na nusu ni aibu na atadharaulika, inavyoonyesha hayo mambo uliyaanza hata kabla ya miaka 17, yan hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.