Naunga mkono hoja zako kwa 200%.
Unaonekana ni msomi uliyeelimika na una uzalendo wa kweli kwenye nchi yako na sio serikali ya kihuni.
Watu kama nyie ndio mnatakiwa kuwa viongozi, very unfortunately, tuna clowns kwenye sehemu nyeti za uongozi.
Ili waandamanaji wamsikilize mtu yeyote yule inabidi haya yatokee.
1. Kama vile wanavyo himiza watu wasiandamane kwenye vyombo vya habari, inabidi kwanza watoke kwa hiyo style kwa kuitaka serikali haramu iwajibike.
2. Uwajibikaji ikiwemo waliohusika kuachia ngazi hadi yule top wao.
3. Baada ya...
Waandamanaji hawahitaji matamko ili kufanya maamuzi yao.
Walishasema watatoka na itakuwa hivyo.
Hata ashuke Malaika msimamo ndio huo.
Kwanini Mufti asiiambie Serikali irejeshe miili iliyochukuliwa kwa nguvu na kuzikwa kusikojulikana?
Kama kiongozi wa Dini ya haki, kwanini hakemei utekaji...
Habari Wakuu
Lisaa limepita ambapo Jeshi kupitia Lieutenant wake wameenda kwenye Television ya Taifa kutangaza nchi ipo kwenye himaya ya Jeshi baada ya muda si mrefu nchi kuelekea uchaguzi Mkuu.
Rais Platon hajulikani alipo kwasasa ila msemaji wa Serikali anasema yupo salama.
Hii imekuja muda...
Mimi ni Mkatoliki NAKATAA UDINI. Waislamu & Wakristo wote walipigwa risasi.
Tunaungana kwa pamoja kumpinga Dikteta samia kama ilivyo kwa Magufuli na sio sababu ya DINI
Imagine huyu ndio Msomi wa Sheria?
Unataka watu walipoteza wapendwa wao na serikali imeficha miili yao, wakae tu na kusifia serikali kama wewe nyumbu?
Unataka watu wakae kimya kuongozwa na Rais haramu wakae kimya huku anaendelea kutudhihaki na kuweka familia yake kwenye cabinet?
Tutatoka bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.