Mkuu, sisi sio matapeli, kuna watu kadhaa na tumewahudumia wamo humu ni mashahidi wazuri, lakini kama unaogopa hilo na upo mbali, waweza kumtuma mtu, jamaa au rafiki, ukampa pesa zako, ukamuonesha chaguo lako, kisha sisi tutakutana naye, tutamkabidhi mzigo wako na yeye atatupa pesa, wala...