Chuo cha Tanzania Community Networks Polytechnic College (TCNPC) kimetoa wito kwa vyuo, watafiti na mashirika mbalimbali kuwekeza katika mafunzo ya takwimu na ufuatiliaji wa miradi (M&E) ili kuimarisha uwazi, uwajibikaji na maamuzi yanayotegemea ushahidi.
Wito huo umetolewa wakati wa mafunzo...
Mtandao wa Kupambana na Umaskini Duniani (Global Call to Action Against Poverty – GCAP), tawi la Tanzania, umetaka kuchukuliwa hatua za haraka na za kimkakati kukabiliana na umasikini na ukosefu wa usawa nchini, licha ya maendeleo yaliyopatikana katika utekelezaji wa Malengo Endelevu ya Dunia...
Poland has spoken out about an incident that occurred during the night of September 9–10, 2025, claiming that Russia launched approximately 20 drones into Polish airspace—some also originating from Belarus. Poland stated that this was a planned operation lasting more than seven hours, involving...
Waokota taka jijini Dar es Salaam wamehimizwa kujiunga na matawi ya Mtandao wa Waokota Taka Dar es Salaam Rejeshi (MTAWADA) yaliyopo katika mitaa yao, ili kuwezesha kupaza sauti zao dhidi ya changamoto zinazowakabili.
Baadhi ya changamoto zilizotajwa ni pamoja na kutokueleweka kwa utaratibu wa...
Katika maadhimisho ya miaka 10 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dkt. Peter Kisenge, amesema kuwa licha ya mafanikio waliyoyapata katika kipindi hicho, ameweka wazi kuwa wanakamilisha taratibu zitakazowawezesha wananchi wanaohitaji huduma fulani kutumia...
Mjumbe Maalum wa Masuala ya Wanawake Amani na Usalama Barani Afrika, Mhe. Balozi Liberata Mulamula amekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Amani na Usalama wa Kanda ya Maziwa Makuu( UN Special Envoy on the Great Lakes Region), Balozi Xia Huang katika...
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema kwamba tayari Jeshi hilo limechua hatua kuhusu magari yaliyokuwa na namba za usajili SSH2530 ambapo amesema kwamba kwa sasa magari hayo hayataonekana.
Amesema kwamba baadhi ya magari yenye namba hizo yamekamatwa huku akitoa wito kwa...
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema kwamba waandishi wa habari wanao mchango mkubwa katika kuhakikisha usalama unakuwepo kipindi cha uchaguzi, ambapo amewahasa kuzingatia weledi na maadili.
Amesema kwamba wanaweza kufanikisha hilo kwa kutotoa nafasi ya kuripoti taarifa zenye...
Mwakilishi wa UNESCO nchini Tanzania, Michael Toto amesema Waandishi wa Habari ni uti wa mgongo wa jamii yenye maarifa, ambapo ameeleza kuwa kazi zao uwezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika maisha ya umma na kuimarisha uwajibikaji na kuendeleza demokrasia.
Anaongeza " Lakini mara nyingi...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, Camilius Wambura amesema kuwa kipaumbele chao ni kuhakikisha waandishi wa habari wanakuwa salama katika kipindi cha uchaguzi, ambapo ameeleza kwamba wanahabari wakiwa salama katika kutekeleza majukumu yao jamii nayo inakuwa salama.
Ameongeza kuwa waandishi wa...
Imeelezwa kuwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imejipiga kuwa na Chuo kila Wilaya nchini ili kusogeza karibu fursa ya wananchi kupata ujuzi ambao utaweza kuwawezesha kujiinua kiuchumi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, wakati...
Mwanafunzi wa sheria, Onesmo Mathew, amezindua kitabu chake kipya kiitwacho Watanzania na Sheria, ambacho kinalenga kuwasaidia wananchi wanapokumbana na changamoto za kisheria.
“Kitabu hiki kitaleta mwongozo kwa wananchi ili wajue sehemu ya kuanzia, hususan katika masuala ya madai na jinai,”...
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imetia saini makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Madaktari wa Moyo nchini Misri kwa lengo la kuanzisha huduma za upimaji na matibabu ya magonjwa ya shambulio la moyo kwa wanamichezo, ili kupunguza vifo vya ghafla vinavyotokea michezoni.
Akizungumza...
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi na Biashara ya Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi John Ulanga, amesema Tanzania kwa sasa inashikilia kati ya asilimia 15 hadi 20 ya soko la utalii wa tiba Afrika Mashariki. Aidha, amesema sekta hiyo...
Vijana zaidi ya 200 kutoka mikoa mbalimbali nchini wamekutana leo, Agosti 11, 2025, katika Makumbusho ya Taifa, kwa ajili ya uzinduzi wa Ilani ya Vijana 2025/2030. Ilani hiyo inalenga kuongeza ushiriki wa kundi hilo katika maendeleo ya taifa, utawala bora wa kidemokrasia, kudumisha amani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.