Recent content by infor

  1. infor

    JamiiForums Tanzania Ipi ni brand ya A.C nzuri zaidi?

    Nashauri Daikin zipo vizuri sana, pia brands zingine kama LG, Samsung nazo zinafanya vizuri. Njia rahisi, jaribu kucheck kwenye maofisi au majumba ni AC zipi zimefungwa, always kilicho bora kinavutia wateja Ndio, AC zenye inverter ni energy efficient!
  2. infor

    JamiiForums Tanzania Unatumia njia gani kuishi na dada wa kazi ( house girl) muda mrefu?

    umesema yote, tumeisha naye sasa tunaelekea mwaka wa 11, ila tayari ameshapata mchumba. Ataondoka kwa sababu ya kwenda kuolewa
  3. infor

    JamiiForums Tanzania Msimamizi wa ofisi anahitajika

    Anahitajika kijana mwenye ujuzi na elimu ya masuala ya biashara hususani kwenye sekta ya miamala ya benki na simu. MAJUKUMU -Kusimamia ofisi inayojishughulisha na masuala ya huduma za fedha (Financial services) -Kuandaa ripoti na hesabu za ofisi -Kubuni na kuteleza mikakati ya kuipanua na...
  4. infor

    JamiiForums Tanzania Nakodisha ofisi na mashine za uwakala wa benki na mitandao ya simu

    Sababu: ni kutopata muda wa kutosha kuisimamia kutokana na kubanwa na majukumu mengine mbali na eneo la biashara Eneo: Km 30 kutoka mji wa Mafinga - Iringa Huduma za uwakala wa benki: CRDB, NMB, NBC, TCB na MUCOBA. Mashine (POSS) zote ziko kwenye hali nzuri na zinafanya kazi Uwakala wa simu...
Back
Top Bottom