:pNimecheka sana, utafikiri kama humjui. Sasa unafikiri ni nani ambaye anaweza kuzuia 5bn zirudishwe na hiyo deal apewe Gabachori kwa issue kubwa kama hiyo?
Huyu si binadamu wa kawaida. Na mimi siwezi kuwalaumu viongozi wa CCM na serikali kushupaza shingo maana Mungu anataka AGANO LAKE lipite. Na ili agano hilo lipite basi linabidi lipite na watu liwe fundisho kwa viongozi wajao plus na watu wengine. Tumeshaona wale walioshiriki kumuumiza wengine...
Duh...hapo kwenye highlighted messages ndipo kuna kiini na utamu wa hii taarifa. Watu au vitu vya maana vikiishakutoweka ndipo mwanadamu anatambua umuhimu wake. I hope hii haitatutokea watanzania (Hopefully)
Mwelekeo vipi wakati huo uongozi hata mwezi haujafikisha ukiwa madarakani. Very insanely, less than two weeks eti umepoteza mwelekeo. Sasa wakifika huo watamuomba msamaha Msigwa kwa yale madongo waliomrushia once he joined CCM?🤔🤭🙊
Ninamfahamu sana huyu mama, Mmh ni majanga. Pia ana tabia ya hovyo za kudhalilisha wafanyakazi hasa wanaume. I worked with her miaka ya 1998-2000. Duh, I feel sorry kwa wale watakaokuwa chini yake😜🙊
Mbao za Mafinga, Makambako, Njombe na kwingine zitapata soko zaidi. Maana huenda wakatumia bidhaa za ndani hasa mbao kuundia hiyo ndege. Na siku hiyo itanyesha mvua ya kinyesi....:VegetaPls::TriDance:
Nafikiri huyu RC anatakiwa ajifanyie self-assessment kama anatosha kuongoza mkoa. Anaweza tu kurudi RUCU kuendelea na ufundishaji kule kuliko kukosa busara ya kuwasikiliza watu ambao wanasaidia kuingiza pato kubwa kwa mkoa na taifa. Sasa mbona Waziri hakutumia lugha ya kutumia majeshi. Hivi...
Nafikiri huyu RC anatakiwa ajifanyie self-assessment kama anatosha kuongoza mkoa. Anaweza tu kurudi RUCU kuendelea na ufundishaji kule kuliko kukosa busara ya kuwasikiliza watu ambao wanasaidia kuingiza pato kubwa kwa mkoa na taifa. Sasa mbona Waziri hakutumia lugha ya kutumia majeshi. Hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.