Huyo TO wa 2013 alikutana na kihombo hapo UD wakasoma kozi moja ya petroleum engineering. Kihombo alirudi UD hiyo hiyo 2013. Huyo TO wa 2013 alikalishwa
Kihombo alikua genius wa hali ya juu sana
Yeye kupata div 1.14 o level haindoi ubora wake aliokuja kuufanya baadae.
Messi mchezaji bora kuwahi kutokea lakini ukichukua takwimu za Messi 2005,2006,2007,2008 hakua lolote. Lakini huwezi kusema Messi sio mchezaji bora sababu huko 2007 alikua wa kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.