Habari za jioni ndugu zangu, naomba msaada mwenye kuelewa hili ninashida na home theater yangu inatatizo lakupoteza sauti nakubaki na bass tu peke yake pindi ntakapoweka sauti kuanzia 16 sauti inakata kabisa mwenye uelewa na hili anisaidie tafadhali. Ni sony home theater watt 1000
Ushauri wangu nikuachana na haya mamipira ya miguu tuhamie kwenye basketball afadhali huko kuna pigika kilahisi sio kama huku kwenye football ndiyo maana jamaa wanaigeria wanapiga pesa sana huku na hawajisumbui na huu upuuzi wa football
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.