Recent content by indian mark 2

  1. I

    Home theater inasumbua kupoteza twiter nakubakiza bass tu

    Hii nitaijaribu kesho nitaleta mrejesho hapa mana nishaona kama ni upuuzi mtupu kitu unanunua kwa gharama kubwa alafu linakuja kukuletea mazingaombwe
  2. I

    Home theater inasumbua kupoteza twiter nakubakiza bass tu

    Habari za jioni ndugu zangu, naomba msaada mwenye kuelewa hili ninashida na home theater yangu inatatizo lakupoteza sauti nakubaki na bass tu peke yake pindi ntakapoweka sauti kuanzia 16 sauti inakata kabisa mwenye uelewa na hili anisaidie tafadhali. Ni sony home theater watt 1000
  3. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    So nitajuaje kama ni mechi ipi imeshaondolewa option?
  4. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu naomba kuuliza hivi kwann sportybet kila nikiplace bet wananiletea hiyo kitu naomba msaada
  5. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kaka huu uflex hata kwa match mbili usisahau hilo
  6. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nataka nijilipue hapo naombeni ushauri wenu
  7. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ushauri wangu nikuachana na haya mamipira ya miguu tuhamie kwenye basketball afadhali huko kuna pigika kilahisi sio kama huku kwenye football ndiyo maana jamaa wanaigeria wanapiga pesa sana huku na hawajisumbui na huu upuuzi wa football
  8. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi ukitaka kuflex sportybet unafanyaje mzee
  9. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu niliulizwa hivi kuna mtu yoyote humu anatumia M sport au anafahamu namna yakuchange code pale
  10. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi jamani kuna mtu anatumia M sport humu anielekeze namna alivyojiunga
Back
Top Bottom