Nguruwe hakuharamishwa kwa sababu ni laana Bali kwa sababu ana watoto/minyoo isiyokufa kwa moto na Ina madhara kwako,waziri wa afya marekani alitolewa mnyoo wa nguruwe kwenye ubongo,nguruwe kwa mujibu wa biology unayoijua sana,ni kundi Moja na binadam na vitu vyao vingi hushabihiana,kuanzi damu...
Hii nchi huko nyuma ilikua mbuga za wanyama,mpaka 1990s tabora pembezoni tu ya mji tuliwinda digidigi,sungura,nsha,siku hizi hata kwale hakuna,tunaoneshwa maeneo jirani tu na mji palikua na Simba,siku hizi ni fisi na bweha tu
Epstein alikua jasusi wa mossad,nyaraka zinadai alikua na matambiko hatari kiasi Cha kujigeuza kuwa mjusi(reptile) na huko na wenzake akina Trump walitoa watoto kafara na kula nyama zao,unadhani waziri mkuu wa Israel hatokua na Kinga za uchawi kama albadir?
Kuna watu wapo shallow sana hasa kizazi Cha 1980s mwishoni kuja 2000s,sijui Wana shida gani?..no critical thinking,hawasomi,hata kuandika na kutamka kiswahili shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.