Recent content by inamankusweke

  1. inamankusweke

    Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

    Uwe unasoma na kuzingatia unachojibiwa,Mimi nakusoma wewe na wachangiaji kwa umakini na kijibaridi hiki Cha mvua
  2. inamankusweke

    IRGC ilitangaza wimbi la 71 la "Operesheni Iliyoahidiwa Sadiq 4," ikitambulisha mbinu mpya na mifumo ya hali ya juu zaidi

    Hizbullah wameingia huko kaskzini mwa Israel inadaiwa,mpango ni kuchukua hilo eneo, Sasa Israel kavunja daraja akidai kuzuwia hizbullah kuwepo Lebanon kusini
  3. inamankusweke

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Hiyo video ai,hata grok imessma ai,ukizoom tarehe japo kaunta ni march 2024,huo mgahawa upo mmoja tu Jerusalem na umefungwa kipindi hiki Cha vita Kahawa jap kainywa mafunda mawili lakini haipungui Japo kikombe kimejaa mpaka juu lakini hakuna tone lililodondoka
  4. inamankusweke

    Wizara zipi si za kimuungano?

    Wizara za muungano hazipo Zanzibar,zipo dar na dom
  5. inamankusweke

    Wizara zipi si za kimuungano?

    Kuna wizara za jmt na wizara za smz,za jmt mzanzibar ruksa kuajiriwa,za smz mbara marufuku,zingatia kwamba Tanganyika ilikufa kibudu siku nyingi
  6. inamankusweke

    Inachezwa chini ya maji mno

    Yaani wale wafanya vurugu wangekua na silaha wangeshinda,nyi watu vyombo vya Dola mnavichukuliaje?!..yaani raia uwe na AK 47 ushindane na na snipers na kikosi maalum Cha tiss Cha kupambana na ugaidi,jwtz,polisi!?..mtakufa kifala
  7. inamankusweke

    Kinachoendelea Vita ya Iran kimeithibitishia dunia na kuipa uhalali Marekani wa kuidhibiti Iran

    Akili huna na udokta Koko wako, Iran aache kupiga rasilimali jeshi za mareka 500km tu?..marekani kaondoa wanajeshi kambini kawahamishia mahotelini, apartments, Iran asipige hizo hotel?..asipige Kambi za marekani zinazotumika kumshambulia?
  8. inamankusweke

    Mwigulu: Wanaokaa vikao kwamba huyu tumfanyeje, niwaambie hamnifanyi kitu. Utotoni nishahangaika na simba na chui na hawakunifanya kitu

    Kwamba Simba na chui hawana akili,wana-organize mawindo na wanalea watoto mpaka wanajitegemea
  9. inamankusweke

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Bajaji, daladala,guta,bodaboda zisiingie mjini
  10. inamankusweke

    Hivi kwanini Iran huwa hailichukulii kwa uzito suala la usalama wa viongozi wake?

    Acheni kusifu mossad,ni tawi la cia, tracking ilifanywa na marekani,silaha zilizotumika za marekani, mossad walipewa tu info na CIA,hii ni kwa mujibu wa trump
  11. inamankusweke

    Utafiti: Asilimia 90 ya watanzania upata choo kikubwa kila baada ya siku 3

    Huo ndiyo ukweli,wala wiki nzima,wanya tonge mbiki,ni wazi unatembea na mavi mengi TU, Elvis Presley alikufa sababu Moja wapo constipation,alikutwa na maji tele kama choo Cha shule
  12. inamankusweke

    Utafiti: Asilimia 90 ya watanzania upata choo kikubwa kila baada ya siku 3

    Ule wiki nzima,unye mara Moja!?..hapo mavi hufyonzwa tena mwilini,ndiyo maana mara brain fog mara unaumwa lakini ukipimwa ugonjwa hauonekani
Back
Top Bottom