Hizbullah wameingia huko kaskzini mwa Israel inadaiwa,mpango ni kuchukua hilo eneo, Sasa Israel kavunja daraja akidai kuzuwia hizbullah kuwepo Lebanon kusini
Hiyo video ai,hata grok imessma ai,ukizoom tarehe japo kaunta ni march 2024,huo mgahawa upo mmoja tu Jerusalem na umefungwa kipindi hiki Cha vita
Kahawa jap kainywa mafunda mawili lakini haipungui
Japo kikombe kimejaa mpaka juu lakini hakuna tone lililodondoka
Yaani wale wafanya vurugu wangekua na silaha wangeshinda,nyi watu vyombo vya Dola mnavichukuliaje?!..yaani raia uwe na AK 47 ushindane na na snipers na kikosi maalum Cha tiss Cha kupambana na ugaidi,jwtz,polisi!?..mtakufa kifala
Akili huna na udokta Koko wako, Iran aache kupiga rasilimali jeshi za mareka 500km tu?..marekani kaondoa wanajeshi kambini kawahamishia mahotelini, apartments, Iran asipige hizo hotel?..asipige Kambi za marekani zinazotumika kumshambulia?
Acheni kusifu mossad,ni tawi la cia, tracking ilifanywa na marekani,silaha zilizotumika za marekani, mossad walipewa tu info na CIA,hii ni kwa mujibu wa trump
Huo ndiyo ukweli,wala wiki nzima,wanya tonge mbiki,ni wazi unatembea na mavi mengi TU, Elvis Presley alikufa sababu Moja wapo constipation,alikutwa na maji tele kama choo Cha shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.