Habari.
Juzi kama wiki mbili zilizopita nilinunua simu ya OPPO a9 ,
Nimejikuta namba zangu mbili site zimefungiwa WhatsApp Kwa sasa nimejaribu kutumia tatu na zote zimefungiwa.
Naombeni mnisaidie shida mini wakuu?
Usaili wa walimu Umehairishwa mpaka hapo utakapotangazwa.
Afya mpaka leo hakuna Pdf.
Je, kipi kiko nyuma ya haya?
1. Serikali haina Hela.
2. Utumishi wamelemewa.
.
.
Uzuri wa psrs ni kama mwanamke aliyeolewa anakaza mchana usiku anabanduliwa kuna siku atatoa mzigo.
So maamuzi ndo hayajulikani atatoa lini lia lazima aliwe.
So watoe pdf wasitoe ni sehemu ya majukumu yao wenyewe.
Ni kama ccm na upigaji wa kura.
Manga kweli wear ni msababato jamaa mbishi sana.
Ajira za afya walitoa kwa acc baadae wakatoa kwa PDf kesho yake.
Walimu nao wametoa kwa acc pdf zinafuata baadae kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.