Recent content by iMatty

  1. I

    Naomba Ufadhili wa masomo

    nipo makini bro. And I really need help. Kwa atakae kuwa willing kunisaidia nitampatia vithibitisho vyote. Sikupenda kuja kuanika shida zangu hapa ila ni kutokana kwa kukosa msaada na wazazi wangu hawana uwezo. Nina nia ya kusoma. ndio maana nataka msaada kwa mwaka huu tu mmoja mwaka ujao...
  2. I

    Naomba Ufadhili wa masomo

    Sorry number yangu ni 0629145012
  3. I

    Naomba Ufadhili wa masomo

    Habari ndugu zangu. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Nasoma sheria katika moja ya vyuo vilivyopo mkoani morogoro ngazi ya cheti. Dhumuni ya kuleta ishu yangu humu ni kuomba msaada wa mtu yeyote atakae guswa ķunisaidia kunifadhili kwa kipindi hiki cha mwaka mmoja.. naomba kwa yoyote...
Back
Top Bottom