Recent content by Imani Minja

  1. I

    Kulala kwa Lowassa Msibani kuwe Funzo kwa Wapiga kura Tanzania

    Alikuwa anasali na ndio maana Mungu amechagua alikomboe Taifa letu. Hao waliongoza miaka 10 bila kulala ili wapakie Twiga kwenye ndege ndio wanaofaa?
  2. I

    Kwa mfumo wetu wa uchaguzi na tume yetu ya uchaguzi CCM hawana haja ya kulinda kura

    Tume yote ya taifa ya Uchaguzi inateuliwa na Raisi ambaye ni mwana CCM. Watendaji wote wa Tume wanateuliwa na Raisi ambae ni mwana CCM. Wakurugenzi wote wa Halmashauri ambao ndio wasimamizi wa uchaguzi wanateuliwa na Raisi ambae ni mwana CCM. Mkuu wa Polisi ambaye anateua ma RPC anateuliwa na...
  3. I

    Prediction: CHADEMA kupoteza majimbo 50% waliyokuwa wanayashikilia

    Nitajie sheria ipi na kifungu gani
  4. I

    Prediction: CHADEMA kupoteza majimbo 50% waliyokuwa wanayashikilia

    Sikatai ulichosema na tena ni ushauri mzuri kwa wagombea ubunge toka CDM. Ila itapendeza sana kama ushindi wa CCM utatokana na kura halali za watanzania. Nachojua mimi CCM imechokwa na watanzania wengi haina jipya wala wagombea wake hawana jipya. Ndio maana badala ya kumwaga sera wanaishia...
  5. I

    Tume ya taifa ya uchaguzi kemeeni hili

    Leo Tarehe 28/09/2015 Nimeshuhudia jambo ambalo nila kushangaza na kuhuzunisha sana hasa katika kipindi hiki ambacho Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wengine wa uchaguzi wakiwepo polisi wanatakiwa kutenda sawa kwa wagombea wote. Toka asubuhi wakati Mgombea wa CCM Dr. Magufuli anatako hotelini...
  6. I

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Research ya kupikwa. Wasomi wazima wanajizalilisha kwa vijisenti vidogo walivyopewa. Fanyeni kazi kisomi acheni kununuliwa na kuwadanganya wananchi. Majibu ya kweli ni October 25. Twaweza mmetia aibu.
  7. I

    Kwanini CCM wanashindwa kuwalipa Walimu lakini wanaweza kutumia fedha nyingi kuwalipa Wasanii?

    Ni muda sasa walimu wamekuwa wakiedai Serikali ya CCM Malimbikizo ya fedha za likozo na kupandishwa vyeo. Mwanzo serikali ya CCM ilisema inataka ihakiki kwanza madai hayo ya Walimu. Uhakiki huo umefanyika na ni muda mrefu sasa toka uhakiki huo ukamilike. Cha kushangaza malipo hayo mpaka sasa...
  8. I

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Hata Ccm wamtume Kristo kuzungumza upuuzi kama wa silaa. Hatutorudi nyuma lazima tufanye mabadiliko.
  9. I

    Vichwa vya habari vya magazeti ya kesho

    Hata uwe Pumbavu na lofa kiasi gani lazima utakubaliana nami kuwa silaa ka nunuliwa na ndio mwisho wake kisiasa
  10. I

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Mtu Makini hufanya utafiti kwanza wa kitu anachotaka kuandika au ku post. Hakuna aliyekudiwa kumsindikiza Lowasa na wale sio utamaduni wa CDM au Lowasa kufanya hivyo. Mabingwa wa kufanya hivyo ni CCM walioko Mochwari wakisubiri kuzikwa tarehe 25/10/2015
  11. I

    IKULU yawashukia Jaji Warioba na Gazeti la Raia Mwema (la Jumatano April 2, 2014)

    Huku nikuchanganyikiwa kwa ikulu na chama tawala. Pia ni kuendelea kumzalilisha Jaji Warioba na wajumbe wengine wa tume. Kama ccm walikuea na yao wangeyaweka mapema mbele ya tume ila sio madudu yanayofanywa na ikulu na Viongozi wa juu wa ccm. Ccm na ikulu mnatia aibu sana. Pole sana Jaji na...
  12. I

    Kweli Diwani mgombea wa CCM Kalenga amewekea pingamizi na cdm juu ya uraia wake

    Pingamizi ni juuu ya uraia wake. Inadaiwa ana uraia wa nnchi mbili na baadhi ya walio mzamini kwenye form yake sio wapiga kura wa kalenga kama sheria inavyotaka
  13. I

    CHADEMA yamwekea pingamizi mgombea wa CCM Kalenga

    Taarifa Nilizozipata Kutoka kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga na Kwa Baadhi ya Makada wa CHADEMA ni kwamba CHADEMA kimeweka Pingamizi kwa Mgombea wa CCM. Ni pingamizi gani naendelea kufuatilia nikipata nitawajuza.
  14. I

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Zito si chochote wa lolote cdm kama sababu za msingi za kumfukuza uwanachama zipo. Ni halali yake kufukuzwa. Tunahitaji waadilifu na waaminifu na wenye uzalendo na chama kwa sasa. Sii kupe zito
Back
Top Bottom