Thubutu unaweza. Kuna shughuli nyingi zakibiashara ambazo unaweza kkujikwamua kimaisha
shughuli hizo ni kama;
Utengenezaji wa sabuni za maji na miche
Kuanzisha kitalu cha miti na miche ya matunda
Kuanzisha bustani za mbogamboga
Ufugaji wa kuku
Ufugaji wa samaki
Ushonaji wa nguo (cherehani)...
Pole sana jitahidi kutafuta suruhisho ikiwezekana funngua hata biashara.Na km tatizo ni mtaji wa fedha, biashara haihitaji mtaji mkubwa wa fedha, ila inahitaji juhudi kubwa na nidhamu. Huo ndio mtaji wa biashara. Ukijituma na kuwa na nidhamu ya fedha unaweza kuukuza mtaji wa elf 15 kuwa milion 15.
Thanks, Hata serikali inatakiwa ilione hili itusaidie kutupatia elimu ya ujasiliamali katika na pia ifundishwe shuleni kama masomo mengingine kwa ngazi zote za elimu. Sio mpaka mtu afuzu kidato cha nne au cha sita akiwa na vigezo ndo akajiunge na chuo cha biashara, tutashindwa kabisa
Kama tuko pamoja kwenye mjadala huu naomba ushirikiano wenu katika kuiendeleza kampeni ya maendeleo ya taifa letu
Pia usisahau kuacha kura yako juu ya andiko hili kama umeguswa Mungu akubaariki.
KODI (ushuru) ni malipo ambayo kila mtu mwenye shughuli za kuingiza kipato anatozwa na serikali kulingana na kipato chake. Hivyo kodi ni chanzo cha mapato ya serikali ambayo hutumika kugharamia huduma za jamii zinazotolewa na serikali kama ujenzi wa miundombinu, ujenzi wa mahospitali, shule...
Sadoth H. Balilonda
( Mjasiliamali )
sadothhenry250@gmail.com
+255756536474/+255676436474
Makala hii inatoa muamko ambao unalenga kuchochea mabadiliko katika nyanja mbalimbali za uchumi kupitia biashara, kilimo, sayansi na teknolojia, afya, maendeleo ya jamii na uajibikaji kwa ujumla. Lengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.