Habari zenu wa Tanzania wenzangu,
Serikali baada ya kutangaza kununua korosho katika mikoa ilimayo korosho lakini kwa mkoa wa Mtwara hali imezidi kuwa mbaya wenye korosho tunalizwa vibaya maana tunachukuaga mikopo na kuaandaa mashamba lkn mpaka kufikia leo hakuna mkulima aliyeona pesa.
Maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.