Nenda kaangalie nafasi katika chuo unachotaka kuhamia, ikiwa kuna nafasi basi utatakiwa kuandika barua kwa mkuu wa chuo ya kuomba kuhamia chuo husika, ukiambatanisha copy za vyeti vyako na printed page ya TCU inayoonesha umechaguliwa chuo na kozi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.