nahisi kafulila atakuwa amejifunza yakuwa hakutakiwa atukane chama kikubwa kama chadema wakati bado mwanasiasa kijana na huku akijua hakuna chama kingine chenye uhuru wa kutoa hoja kama chadema pole sana kafulia nahisi umejifunza kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.