Suala la Umeme sio dharura,tumeshakumbwa sana na ukame na migao mikali sana ya umeme,hii serikali haijifunzi,?kama 2013 walijielekeza kwenye miradi ya gesi,kwa nini wameishia njiani?miaka 60 ya uhuru bado tumeshindwa kuwa na umeme wa uhakika?Kenya au Uganda mbona hatukisikii hii kero kwa kiwango...
Acha hizi porojo mkuu,Rais Samia anaongoza serikali ya CCM,ina Ilani na inaendeshwa kwa kufuata mipango ya maendeleo ya miaka mitano mitano,haiwezekani Kila Rais akiingia aje na yake,utakuwa ni upuuzi sasa,nchi haina continuation ya miradi ya maendeleo?kilio cha umeme ni cha miaka mingi...
Mwaka 2013 tuliambiwa 2014 mgao utakuwa historia kwa sababu tunaingia uchumi wa gesi,tukakopa pesa na kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka Dar es Salaam,halafu leo mnaleta simulizi zile zile tena?
Huo moto wa Katiba anauongeza vipi?hata hiyo mikutano inategemea hisani ya huyo Samia,akiipiga pini hakuna kitu mtafanya badala yake mtaishia kulalamika humu jamvini tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.