Habari wana JamiiForums,
Ninauza tangawizi za Kigoma, kilo moja kwa sh 2200 ninauza kuanzia kilo tano na kuendelea kwa jumla, ukihitaji nipigie kwa number hii 0654564224 niko Dar es Salaam Temeke.
karibuni kwa waliopo dar es salaam, nauza dagaa wa kigoma wazuri wasio na mchanga kwafungu ya 2500, 5000, na 10000 kwa anaehitaji piga simu 0654574224, 0764192746.
napatikana buza sigara, na pia nafanya delivery.
KARIBUNI SANA
habari, ninatafuta kazi ya kufanya wakati wa usiku ili kujiongezea kipato maana kwa sasa hakitoshi na ninamajukumu mengi yanayoitaji pesa, kwa mtu.anaeweza kuniunganisha kwenye production company yeyote, kampuni za simu, au cassino kubwa kubwa. Na sichagui kazi, ninauweza wa kuelewa kwa haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.