siku za nyuma nilileta uzi wangu humu ambao ulisema "natafuta baba atakaye kuwa baba wa mtoto wangu"
Walijitokeza wanaume wengi wao walikuwa mbali na mkoa niliopoa, ila kuna mmoja tulikuwa wilaya moja. Huyu ndiye nilimuona anafaa sana.
Alinitumia picha zake ila mimi sikumtumia nikamwambia...
Aliyetayari kuwa baba wa mwanangu anitafute PM.
SIFA . Awe na umri kati ya miaka 30_45; Akubali mtoto atumie majina yake ata akipenda anaweza mtafutia jina lingine; Elimu kuanzia diploma; awe amejiajiri au kuajiriwa; Awe na yy anamtoto/watoto au kama hana hakuna shida; asiwe mfupi.
SIFA...
Ndugu jf, nimekuja hapa kuomba ushauri, nikiwa chuo nilikutana na kijana tukaanzisha mahusiano kwa bahati nzuri nikashika mimba nikamwambia mwezangu alikataa na kuniambia niitowe yy anamtu wake na akisikia amempatia msichana mwingine atajiua, nilikataa nikamuomba basi mtoto tumlee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.