Recent content by Igurumuki Masanja

  1. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yaliyotushinda Gen-X hawa Gen-Z watatutoa Kimasomaso?

    Kesho ni wajibu kuingia barabarani na sio hiari
  2. I

    JamiiForums Tanzania Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

    Utakuwa huna TV kwako na yawezekana muda huu ndio unaingia online
  3. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Barua ya wazi kwa mheshimiwa ex mayor wa ubungo na mwenyekiti wa chadema kanda ya Pwani

    Alivuna anaendelea na ataendelea kuvuna ambacho alichokipanda na atakacho kipanda Zama za kudanganyana zimeshapita
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba na Yanga Wangekuwa Wanaijenga Nchi, Tanzania Ingekuwa Singapore: Taifa la Wapumbavu wasioelewa dhana ya Vipaumbele

    Ni kweli tena ni mchungu Tujitafakari watanzania , tubadilike au tuendelee na Simba na Yanga huku rasilimali za taifa zikiuzwa kila kukicha na watawala4
  5. I

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wassira: CCM tutaendelea kushika dola kwa kupigiwa kura sio kwa mtutu wa bunduki

    Kwa nini wanaogopa kuwa na katiba yenyewe misingi ya mfumo wa vyama vingi tofauti na ilivyo sasa
  6. I

    JamiiForums Tanzania Lema kamkimbia Makonda Arusha?

    Utakuwa upo sahihi ikiwa tu na id malaria2 ni ya kwako Tangu trh 22 mleta hoja amekuwa na ugonjwa wa kisonona kilichosababishwa na ushindi wa TAL . Kwa siku anaanzisha thread zaidi ya kumi ambazo zote zinamlengo hasi kwa TAL na kwa wale wote walikuwa timu yake ya ushindi
  7. I

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa mfuasi wa Trump Kwa Muda Mrefu sana Ila Kwa Hili la Kusitisha Misaada na Ruzuku upande wa Afya Sikubaliani nalo, amekosea sana

    Walichelewa tu kusitisha Wanapaswa kuacha kabisa Haiwezekani Tanzania yenye utajiri wa kila rasilimali lakini bado tunategemea USA kwenye swala la afya ya watanzania
  8. I

    JamiiForums Tanzania Lema kamkimbia Makonda Arusha?

    Nafikili uolewe naye Ili uweze kufahamu kwa undani vinavyomuhusu
  9. I

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: CHADEMA haitakwama kwa kukosa pesa za Mbowe

    Milioni 400+ kwa mwezi na hakuna kitu chochote kilichofanyika na kuonekana
Back
Top Bottom