Recent content by Ighombe

  1. Ighombe

    Kwanini hekalu la Mungu lilijengwa na Mfalme Suleiman na tunajifunza nini kwa mtu wa hovyo kama huyu?

    Mungu WA Wakristo , ila Mungu wa Waislamu anaruhusu na KILA Mungu atatoa hukumu yake kulingana na jinnsi alivyoruhusu! Au?
  2. Ighombe

    Kwanini hekalu la Mungu lilijengwa na Mfalme Suleiman na tunajifunza nini kwa mtu wa hovyo kama huyu?

    YAANI hakuna namma unaweza ukawa against na Dini Kwa vile imegawa ajira Kwa mamilioni ya watu Duniani.!!!! Dini za Waarabu na Wazungu zikifutwa Kuna watu watakuwa omba omba hapa Duniani.
  3. Ighombe

    Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

    Mimi huwa nawashangaa sana binadamu kuzama kimawazo sana Kwa vitu vya kuaminishwa tu Tena Kwa juhudi Kali Toka kizazi Hadi kizazi. Havipimiki!, Havina matokeo chanya . Mmm Mimi naangalia tu. Wakati mwingine naona wanakomaa navyo Kwa vile ni ajira kwao au Kwa ndugu zao. Any way Kwa vile jf ni...
  4. Ighombe

    Mwanaume punguza stress na ongeza siku za kuishi Kwa kanuni hii ya 40%, 30%, 25%, 5% na 0%

    Wanaotuumiza zaidi sisi wanaume ni wake zetu wengi wanakopi maisha ya watu wengine na kurudisha kopi Nyumbani Kwa njia ya lawama..... Utasikia baba Y unajua akina K siku iz Wana gari sisi tutanunua lini? Ukigeukia kushoto mtoto anakuambia baba ninunulie semi..... Mfukoni una elfu MBILI nauli ya...
  5. Ighombe

    Je, pesa uliyonayo itamudu gharama za maisha yako kwa miaka mingapi bila kufanya kazi?

    MIMI KUKUJIBU NAPATA KIGUGUMIZI KWA VILE FEDHA YETU SIYO STABLE INASHUKA THAMANI DAILY!!!!
  6. Ighombe

    Ili swala la kuongea siasa kwenye nyumba za ibada Lina utata...ebu tafakari kidogo

    Mada ipo sawa unajua tangu enzi za utawala wa kirumi ilikuwa ili mamlaka ziheshimiwe lazima dini na watawala wa Dola wawe kitu kimoja. Ukimponda mtawala mbele ya waumini wako ambao ni watawaliwa unamfanya mtawala awe na KAZI ngumu kutawala "Tunaelewa hivyo"
  7. Ighombe

    The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!

    YAANI NIMESOMA HUU UZI AUTOMATICALLY NIKAWARUSHIA HILO BANGO HAPO JUU WATOTO WANGU!!
  8. Ighombe

    Kushindwa kutofautisha Neno Upare na sehemu nyingine

    Kwa nyongeza angalia hiyo mandhari ya upareni milimani . Na SASA hivi Kwa wapare wanaoishi tanbarare za Mwanga, Kisangara, Lembeni, Mgagao, Njoro, Ishinde, Same, Makanya,na Hedaru Mama mwezi Marchi alizindua mradi mkubwa WA MAJI safi na salama kutoka Nyumba ya Mungu hivyo PAMOJA na HALI hiyo...
  9. Ighombe

    Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    ACHA uongo wangejiandika humu mtandaoni. Mti unaopigwa mawe ndo wenye matunda mazuri.
  10. Ighombe

    Hivi watu wanaonuka midomo huwa hawajijui?

    Chuma, chuma hiyoo!
  11. Ighombe

    Hivi watu wanaonuka midomo huwa hawajijui?

    Kwa hiyo kipimo ni kipi?
  12. Ighombe

    Hivi watu wanaonuka midomo huwa hawajijui?

    Pia kutokunywa MAJI mengi na pia kutotibu magonjwa ya kinywa!
  13. Ighombe

    Apata 'ajali' angani akiwa kwenye ungo aangukia TANESCO

    Raia wasafiri uchi? Sheria za kimataifa zinaruhusu?
Back
Top Bottom