Recent content by Idrisa1510

  1. Idrisa1510

    Wanaume tubadilike

    Wamesikia
  2. Idrisa1510

    Nimetoka kutafuna mbususu ya mwanamke niliyemdanganya kuwa nafanya kazi benki

    Uzinzi ingekua unaachia watu umasikini matajiri wangekua wachache sana. Matajiri almost wote ni wazinzi bhana
  3. Idrisa1510

    Shukurani ya Punda ni Mateke, aliyefundishwa na Mwalimu leo ni wa kwanza kumtukana Mwalimu

    Duuh kazi tunayo walimu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  4. Idrisa1510

    Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

    Nyimbo ya kawaida sema video iko Poa kinoma. Hajawahi kukosea kwenye video Huyu kiumbe
  5. Idrisa1510

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    SANCHO mbona simuoni
  6. Idrisa1510

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Gori nne parefu, hata Kama ni friendly match
  7. Idrisa1510

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    NINATAFUTA SEHEMU YA KUWEKA MASHINE YA KUKAMULIA JUISI YA MIWA HAPA DAR ES SALAAM. ATAKAYEKUWA NA SEHEMU NZURI MAENEO YENYE MZUNGUKO WA WATU HASWA BARABARANI NA MASOKONI NAOMBA TUWASILIANE. NINA 50K MFUKO WA SHATI KWA ATAKAYENIPATIA ENEO. SHARTI LIWE ENEO LENYE MZUNGUKO WA WATU NA LINALORUHUSIWA...
  8. Idrisa1510

    Anahitajika kijana wa kuuza bucha

    Nilikupm siku chache nyuma kwa bandiko kama hilihili ingawaje hukuujibu ujumbe wangu. Nilijua labda umeshampata
  9. Idrisa1510

    Je, ni kweli Mke/Mume anaweza kuwa na gundu au mkosi kwenye familia?

    Acheni uchawi. Michongo kwenda kinyume na matarajio haimaanishi mke Ana mikosi
  10. Idrisa1510

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Hii ni Zanzibar au Tz baraza?
  11. Idrisa1510

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tushapigwa kimoja tayali
  12. Idrisa1510

    Kijana unayehangaika kutafuta mchongo wa kufanya pitia hapa, utakuja kunishukuru

    Sasa hii connection atawapa watu wangapi, maana wenye dhiki tuko wengi.
  13. Idrisa1510

    Anatumiwa video za girlfriend wake WhatsApp. Je, afanye maamuzi gani?

    Mshauri rafiki yake amwambie bingo aende polisi kwa tahadhari ya hapo baadae.
  14. Idrisa1510

    Ni nini hasa kinachochunguzwa ktk ugaidi wa juzi?

    Vipi hili nailokutana nalo mitandaoni? Maana nakutana na Habari kua kijana HAMZA ni miongoni mwa watoto wa mzee marehemu aliyekua mmiliki wa migodi midogo. Mzee huyu aliwarithisha migodi hiyo wanae, HAMZA akiwa miongoni mwao. Sasa inasemekana kabla ya tukio lililozaniwa kua la ugaidi kuna...
Back
Top Bottom