NINATAFUTA SEHEMU YA KUWEKA MASHINE YA KUKAMULIA JUISI YA MIWA HAPA DAR ES SALAAM.
ATAKAYEKUWA NA SEHEMU NZURI MAENEO YENYE MZUNGUKO WA WATU HASWA BARABARANI NA MASOKONI NAOMBA TUWASILIANE. NINA 50K MFUKO WA SHATI KWA ATAKAYENIPATIA ENEO. SHARTI LIWE ENEO LENYE MZUNGUKO WA WATU NA LINALORUHUSIWA...
Vipi hili nailokutana nalo mitandaoni?
Maana nakutana na Habari kua kijana HAMZA ni miongoni mwa watoto wa mzee marehemu aliyekua mmiliki wa migodi midogo.
Mzee huyu aliwarithisha migodi hiyo wanae, HAMZA akiwa miongoni mwao.
Sasa inasemekana kabla ya tukio lililozaniwa kua la ugaidi kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.