Hapa umenigusa sana Kiongozi,ni kweli kabisa ,
idea ni kitu UNACHOKIAMINI,!
Unachokiamini siku zote utakipenda!
Ukikipenda utakifanya/ kutekeleza bila kuchoka , hutakata tamaa kwakuwa unaamini unachokifanya!
Mara nyingi watu huishia njiani kwakufanya vitu wasivyo vipenda au kuviamini!
Hii...
Mkuu, Habari yako mkuu, tafadhari naomba unifahamishe ni namana gani ninaweza pokea card yangu ya payoneer maana sijawahi pokea mzigo kutoka nje ya nchi, nimeona kwamba wewe ulisha pokea card hiyo, so please naomab unisaidie mawazo mkuu,
0658129251
IDD ALLY
katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo jamgwani CCM ilijaribu kutoa ufafanuzi ktk baadhi ya mambo kama vile mfumuko wa bei ya vyakula km vile mchele na sukari mh Steven Wasira asema "hecta laki moja za mpunga kulimwa ktk bonde kirombero" ili kupunguza tatizo la bei ya mchele mwaka ujao wa fedha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.