kwan kwa mtazamo wako maisha ya vijana wa Kenya yakoje vile unayajua ww? tatizo lenu watanzania uwa hamjioni, nyie mkiona vijana sharobora mtaani hawana kazi mnajusahau maisha hayo yapo Mpaka kwenu wengi wenu mko hoi ila mnapenda kufake ali zenu cz sio haraka kuona vijana wa Kenya wakija...
Eti vijana wa Kenya tumekata tamaa kwan umeskia tuna ugonjwa upi unaofanya tukate tamaa ya kuishi au unataka tuwe tunaimbia serikali muda wote, mama zetu walimuimbia moi na Kenyatta ila sisi watoto wa kibaki hatuwezi muimbia Rais yeyote maana sisi ndo tumemuajiri tumemchagua kwa Kura zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.