Recent content by Ibrahimeliza

  1. Ibrahimeliza

    Politician Quotes

    One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors.-Plato A fool and his money are soon elected.-Will Rogers A week is a long time in politics.-Harold Wilson Politics is not a game. It is an earnest business.-Winston Churchill...
  2. Ibrahimeliza

    Business Quotes

    .A business that makes nothing but money is a poor business.- Henry Ford On starting Apple with Steve Wozniak: We worked hard, and in 10 years Apple had grown from just the two of us in a garage into a 2 billion company with over 4000 employees.– Steve Jobs That’s why we started Apple, we...
  3. Ibrahimeliza

    Jinsi ya kutafuta eneo (location) kwaajili ya biashara

    Kitu cha msingi hapa ni kujifunza na kuona wenzako wanafaje hata kaama utaanzisha hapohapo na kuwa mpinzani wao, hakuna ubaya katika biashara ndomaana azam akitua bidhaa fulani na Mo nae anatoa hakuna ubaya kuwa mpinzani.
  4. Ibrahimeliza

    Jinsi ya kutafuta eneo (location) kwaajili ya biashara

    Watu wengi tushawahi kuwauliza watu eneo kwaajili ya kufanyia biashara fulani, yaani baada ya kupata wazo unalitekelezea wapi...?? Njia rahisi ya kupata eneo sahihi kwaajili ya biashara yako ni WAZO. Ndiyo wazo lako linathamani gani..?? Ukishakuwa nawazo fikiria wazo hilo au biashara hiyo...
  5. Ibrahimeliza

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer Swali

    Hahahahaaaaa kawaida mkuu, ila nilifaulu sema udadisi muhimu au unasemaje...??
  6. Ibrahimeliza

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer Swali

    Ni udadisi tu, kama anachokifundisha anakifanyia kazi
  7. Ibrahimeliza

    Biashara ni second chance?

    Kwanini biashara inakuwa nafasi ya pili? Baada ya mtu kufeli katika kazi au chochote ndo anafikiria kufanya biashara, nahisi ndomaana wengi pia wakiingia kwenye biashara wakikutana na changamoto wanakuwa wadhaifu na wepesi kukata tamaa, au kwanini labda baada ya kufeli ndotunawaza biashara?
  8. Ibrahimeliza

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer Swali

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer. Mimi; unafanya biashara gani teacher...?? Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara. Mimi; Kwanini...?? Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile. Mimi; Sindo...
  9. Ibrahimeliza

    Biashara na TRA

    Hahahahhahaaaaaa aieseeee mpaka wazo unalipia yani wewe sasa nimekuelewa na naunga mkono, yani kifupi tanzania ukiwa na wazo la biashara lazima ulilipie unaanza kulipia wazo daaaaaaaah
  10. Ibrahimeliza

    Biashara na TRA

    Either niwapige au wanipige. Nahakuna anaekubali kupigwa
  11. Ibrahimeliza

    Biashara na TRA

    Aiseee hapo kidunchu nimeanza kukuelewa kwamba lazima uwaongopee
  12. Ibrahimeliza

    Biashara na TRA

    Kuna kitu sijakielewa hapa, au hakipo sawaaa, ukitaka kuanzisha biashara lazima ufuate utaratibu wa kisheria mfano lazima uwe na tin na lesseni ya biashara husika, embu fikiria unataka kuanzisha biashara ya miamala ya kipesa imezoeleka kama tigopesa ili upate line za kazi hiyo lazima uwe na...
Back
Top Bottom