One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors.-Plato
A fool and his money are soon elected.-Will Rogers
A week is a long time in politics.-Harold Wilson
Politics is not a game. It is an earnest business.-Winston Churchill...
.A business that makes nothing but money is a poor business.- Henry Ford
On starting Apple with Steve Wozniak: We worked hard, and in 10 years Apple had grown from just the two of us in a garage into a 2 billion company with over 4000 employees.– Steve Jobs
That’s why we started Apple, we...
Kitu cha msingi hapa ni kujifunza na kuona wenzako wanafaje hata kaama utaanzisha hapohapo na kuwa mpinzani wao, hakuna ubaya katika biashara ndomaana azam akitua bidhaa fulani na Mo nae anatoa hakuna ubaya kuwa mpinzani.
Watu wengi tushawahi kuwauliza watu eneo kwaajili ya kufanyia biashara fulani, yaani baada ya kupata wazo unalitekelezea wapi...??
Njia rahisi ya kupata eneo sahihi kwaajili ya biashara yako ni WAZO. Ndiyo wazo lako linathamani gani..?? Ukishakuwa nawazo fikiria wazo hilo au biashara hiyo...
Kwanini biashara inakuwa nafasi ya pili?
Baada ya mtu kufeli katika kazi au chochote ndo anafikiria kufanya biashara, nahisi ndomaana wengi pia wakiingia kwenye biashara wakikutana na changamoto wanakuwa wadhaifu na wepesi kukata tamaa, au kwanini labda baada ya kufeli ndotunawaza biashara?
Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer.
Mimi; unafanya biashara gani teacher...??
Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara.
Mimi; Kwanini...??
Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile.
Mimi; Sindo...
Hahahahhahaaaaaa aieseeee mpaka wazo unalipia yani wewe sasa nimekuelewa na naunga mkono, yani kifupi tanzania ukiwa na wazo la biashara lazima ulilipie unaanza kulipia wazo daaaaaaaah
Kuna kitu sijakielewa hapa, au hakipo sawaaa, ukitaka kuanzisha biashara lazima ufuate utaratibu wa kisheria mfano lazima uwe na tin na lesseni ya biashara husika, embu fikiria unataka kuanzisha biashara ya miamala ya kipesa imezoeleka kama tigopesa ili upate line za kazi hiyo lazima uwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.