Recent content by Ibrahim Julius

  1. I

    JamiiForums Tanzania Wapinzani waipinga hotuba ya kikwete

    Mimi yangu macho.Sioni kabisa mwafaka katika hili,kikwete kaja kutoa maelekezo kwa wabunge juu ya uandikaji wa katiba na sio kufungua Bunge,kashatoa msimamo wake na kuonya watakaotenda tofauti na msimamo wake na chama chake,sioni haja ya Bunge hili kuendelea kujadili katiba ili hali chama cha...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Ikulu yamtaka Askofu Kakobe aache porojo!

    Unauhakika na usemalo kaka!kumbuka ni madai ya msingi hayo sasa haiingii akilini wewe unapoamua kuwasemea ikulu
  3. I

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwa Mbowe, Pinda na Lipumba kutainusuru Katiba?

    Kwa mbowe na lipumba nimeona wanadhamira kabisa ya kutuletea katiba,isipokuwa huyo wa ccm na msimamo wao sipati picha kabisa,lakini yupo lissu kamanda wa ukweli.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mzee Said Arfi kufukuzwa CHADEMA?.

    Mtoto lazma atambue uwepo wa baba,aheshimu pia taratibu za familia,matatizo ya familia hayatatuliwi nje ya familia tena kwa kuwaeleza watu wasiohusika na familia,mazungumzo baina ya wanafamilia hujenga Familia imara isiyoyumbishwa na maadui nje ya familia,ukimuona mtoto anakusengenya na maadui...
Back
Top Bottom