Hatuna mashaka na utendaji wao wa kazi. Wapo vizuri mnoo. Tatizo letu ni huu mkataba unamaslai gani kwa taifa na mkataba ni wa miaka mingapi ?? Na kwanini iwe bandali zote Za TZ bara ?? Kama ni mkataba mzuri kwa nini na bandari za zanzibar zisijumuishwe ? Ili tupate manufaa zaidi ??
Acha uongo bwa shee. Ivi sasa malori yote ya zambia yaliokuwa yanafuata mafuta beira. Yamehamia Tz kwa kuwa bei ya mafuta ipo chini. Nenda kurasini ukajionee wazambia walivyojaa pale kwenye madepo ya kupakilia mafuta
Kwa maana hiyo neno. Demokrasia litakuwa na maaana gani ?? Mbona huheshimu fikra na uhuru wa mtu kikatiba ??? Nimeamini kwa nini. Mungu hatii baraka zake kwenye harakati zenu za kutaka kushika dola kumbe mmejawa na roho za kishetani ndani yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.