Mwalim mkuu wa shule ya msingi huko kigoma jana ameachiwa huru na mahakama baada ya kukutwa hana hatia katika kesi iliyokuwa inamkabili mahakamni hapo.
shahidi ambaye ndiye mwanafunzi mwenyewe alisema mbele ya mahakama kuwa hamkumbuki mtu aliyembaka na kumpa mimba pia amesema umri ulioandikwa...
Tangia Dunia imeumbwa hakuna Taifa lolote lililowahi kukuwa au kujengwa na watu dhaifu tangia ulaya ya kale, mesopotamia, hadi Roman empire Ukiangalia kwa undani Dola zote hizi zilijengwa na watu shupavu kweli kweli kutoka kwa viongozi had wananchi kwa ujumla kwenye Biblia kuna kisa cha mji wa...
Wanafunzi 947,221wa darasa la saba kutoka shule 17,051 za Tanzania bara, wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi leo Jumatano na kesho Alhamisi sept 12, 2019
kati ya watahiniwa hao wavulana ni 451,235 sawa na asilimia 47.64 na wasichana ni 495,986 sawa na asilimia 52.36. Katibu...
Hakuna dhambi na wala sio dhambi kusema ukweli ila kinyume chake tu.
Kwanini nimeanza na na sentesi hiyo hapo juu kwanza hakuna mwanadam yoyote chini ya jua aliyekamilika sote tu wapungufu japo mapungufu hayo tunatofautiana kama hivyo ndivyo bas mkamilifu pekee ni MUNGU tu. inashangaza na...
watu wenye mtazamo hasi ndo wataona au wanaona hichi kilicho fanyika ni kitu kidogo sana lakin hichi ni kitu kikubwa sana..... ukiangalia wanaopinga hichi kitu hata wao wameshindwa kutoa msamah kwa walio wakosea so wanapoona mwenzao amesamehe wao roho zina wauma sna maana hichi kitu kinapatikana...
Msamaha sio kitu ambacho kila mtu anaweza kutoa hapana ni kitu ambacho adimu sana miuongoni mwa sisi wanadam tuishio chini ya jua na io maana baadhi ya wanafalsfa na wasomi wana sema 'Neno msamaha ni msamiati ambao unapatikana ama kutolewa na mwanaume jasiri maana yake huwez toa msamaha kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.