Kitu ambacho siku elezea ni hiki watu watambue siishi home nilisepa.
mama angu mkubwa, bwana ake ambae ni baba mkubwa ana gesti mahali
ivyo basi kutokana na bi mkubwa kutumia busara zake kwamba wife akae pale home kwanza.
Mi ilibidi nisepe nikaenda kukaa zangu gest kwa baba mkubwa sikutaka...
Kwamba mambo kama haya dingi akatoka nduki upuuzi huu
Ukisikikiza ile mistari ya lucky dube
Dingi alitoa ahadi atarudi lakin mpaka muda huo akuna hata alama yake
Alafu mama alisikia huko aliko kaoa Tena na ikapelekea mama kufariki kwa ugonjwa wa moyo.........
Kwamba Nimetoa pesa nyingi kumlipia madeni na ayajaisha alafu hati ya uwanja ni uwanja uuzwe ili madeni yalipwe sio yangu kama unavyozani ok amini ivyo acha niendelee kula uhondo 😄😄😄
Tuendelee
Baada ya kuongea nae na kunipa habari za uwanja, nikaenda home kweli akanikabidhi ile hati ya uwanja ili nitafute mteja uwanja uuzwe nilienda mpaka kwenye uwanja na rafiki angu mmoja Nika ucheki ulikua pazuri tu.
Jioni nimerudi maskani tupo tunakula wife nikamwambia maisha haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.