Naomba kufahamishwa na wanaojua, baada ya kuvulishwa ubunge mbunge aliyekuwepo, uchaguzi unarudiwa, au anachukua aliyekuwa akimfuata? na kama ni kurudiwa, kuna fidia gani aliyevuliwa anatakiwa kurejesha? au ni mipesa ya serikali tena itagharamia uchaguzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.