mbaya zaidi taarifa zinatolewa ndani ya wiki mbili,wanafunzi wakiwa wako rikizo na sasa wanatakiwa kuwasiri na kwenda kijusajiri jumamosi na jumapili na atakayekuja badala ya hizo siku aende la laki moja kama faini ya kuchelewa kweli ndugu zangu ni Tanzania hii?
kwa kweli nimeona kuna utitiri wa malipo ambayo kama mzazi/mlezi unashindwa kuamini ni nn hiki mtu unajiuliza ni kwa nn watu wanajiamulia tu na mambo yanaenda kana kwamba nchi yetu haina viongozi wa kuyakemea haya
Naiomba serikali na mamlaka husika kusitisha upandishwaji holela wa ada ambao naamini haukufuata utaratibu unaofanywa na chuo hiki cha udaktari kilichopo Ifakara Morogoro, ni mwaka juzi tu chuo hiki kilipandisha ada na sasa vijana wetu wanaambia ada imepanda tena kwa takribani milioni mbili...
Hii sehemu tajwa {AFRICANA BARABARA YA MWENGE TEGETA} imekuwa ni machinjio ya binadamu na magari yao tunawaomba wahusika mlione hili na mlifanyie kazi ili kuokoa raia wa nchi hii. siwafundishi kazi lakini naomba mje mpaone jinsi magari yanavyosongamana wakati wa kupita pale.
Naona utaratibu huu uliopendekezwa na wajumbe wa Bunge la katiba unaowawezesha wajumbe kupiga kura au kutoa maoni yao kwa njia ya ki-electronic pia wange utumia kutoa michango yao mara bunge la budget linapokuwa linaanza ili wabunge wakae mtajimboni kwao na wachangie kutoka huko waliko ili...
Wapo binadamu wanaishi na pengine wanaishi maisha mazuri kushinda hata ww, na wanaendesha shughuri zao kama kawaida. Tatizo la kukariri mambo ni cancer mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.