Aliyekuwa Raisi wa wmawamu ya tano pia alihesabika kama mzaliwa wa wilaya ya biharamulo kabla kata ya chato iliyokuwa wilayan biharamulo haijafanya kuwa wilaya
Kilichotokea Kenya huenda kikatokea Tanzania pia lakin kwa njia ya tofauti maana wamama wengi ni wanakunywa mafuta ya upako
Nimesema wamama kwa sababu ndo wafuasi wengi wa hzi mamb kuliko wanaume. Mafuta yenyew hatujui yametoka wapi TFDA wapo na hawajaliona hili.
TBS wapo wamekaa kimya kujua...
Bado sisi watanzania maana wamama wengi ni wanakunywa mafuta ya upako,mafuta yenyew hatujui yametoka wapi TFDA wapo na hawajaliona hili,TBS wapo wamekaa kimya na TRA wapo hawajaonankwamba kuna kodi yetu hapa kwa huyu mfanya biashara wa mafuta ya upako anaetumia jina la mtume/kanisa kukwepa kodi😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.