Recent content by I_am_nyarubanja

  1. I_am_nyarubanja

    Historia ya Wasubi na Wilaya ya Biharamulo

    Aliyekuwa Raisi wa wmawamu ya tano pia alihesabika kama mzaliwa wa wilaya ya biharamulo kabla kata ya chato iliyokuwa wilayan biharamulo haijafanya kuwa wilaya
  2. I_am_nyarubanja

    Athari za kuibuka kwa madhehebu kila leo

    Hata hawa wakenya waliachwa wakaamini ya kwao lakini sasa hvi familia zao zinahangaika watoto wameachwa yatima...
  3. I_am_nyarubanja

    Athari za kuibuka kwa madhehebu kila leo

    Kilichotokea Kenya huenda kikatokea Tanzania pia lakin kwa njia ya tofauti maana wamama wengi ni wanakunywa mafuta ya upako Nimesema wamama kwa sababu ndo wafuasi wengi wa hzi mamb kuliko wanaume. Mafuta yenyew hatujui yametoka wapi TFDA wapo na hawajaliona hili. TBS wapo wamekaa kimya kujua...
  4. I_am_nyarubanja

    Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

    Bado sisi watanzania maana wamama wengi ni wanakunywa mafuta ya upako,mafuta yenyew hatujui yametoka wapi TFDA wapo na hawajaliona hili,TBS wapo wamekaa kimya na TRA wapo hawajaonankwamba kuna kodi yetu hapa kwa huyu mfanya biashara wa mafuta ya upako anaetumia jina la mtume/kanisa kukwepa kodi😀😀
Back
Top Bottom