Naweza kusema kuna suala kubwa vijana wamejisahau nayo ni kwamba, unamfanyia campaign mwanasiasa ili yeye apate kazi wakati mwenzangu na mimi kila siku tunalia hatuna kazi, hakuna mwanasiasa yeyote atakaye kulatea kazi na msaada wowote iwe, ccm,cdm,cuf na hata wengineo.
hivi tuseme ukweli hata...