Recent content by husnan jumah

  1. H

    Wataalamu wa masaji Dar - es -salaam

    jaman nahtaj hyo namba na mie nkaone tu
  2. H

    Reasons Why Its Not Easy To Satisfy A Lady.

    kwa mbal yana ukweli bt boys nao wana yao mengi a
  3. H

    Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

    umri ctatizo ila chunguz mambo mengne coz ukicosea ndoa ushaspoil ur future
  4. H

    Wanawake wa TANGA twapendwa na Wabara, ila wazazi wao wanatuharibia

    mie nawajua ndan nje watnga kwan na mie mmoja wao kmapenz ni balaa sana ila bnadam hakos kasoro bt kunako mapenz wanatishaa
  5. H

    Usaliti unapotokea ndani ya uchumba

    Wana Jf, Nipo na mtu wangu ambae nampenda sana na naamini na yeye ananipenda. Tupo katika mahusiano ya miaka mitano. Nimegundua sasa kuwa ana mtoto wa nje ya ndoa, habari niliyoipata wakati wa kutambulishana familia. Naomba mnisaidie mawazo ni nini cha kufanya? Niendelee naye ama ndiyo atazidi...
Back
Top Bottom