Wana Jf,
Nipo na mtu wangu ambae nampenda sana na naamini na yeye ananipenda. Tupo katika mahusiano ya miaka mitano. Nimegundua sasa kuwa ana mtoto wa nje ya ndoa, habari niliyoipata wakati wa kutambulishana familia. Naomba mnisaidie mawazo ni nini cha kufanya? Niendelee naye ama ndiyo atazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.