Unataka wasimchague Zzk halafu wamchague nani? Ushatathmin huyo wa kumchagua ana mambo yepi ya kuwafanyia wana kigoma na watanzania kupita mchango wa Zzk?. Au ni siasa za chuki tu unaleta?
Ni kwa sababu wewe na mimi tunaojua kiswahili hatukuiona hyo fursa,na hata saiv hatuioni ndo maana hatufanyi chochote .
Ila kuna majamaa wameona fursa na hawajui kiswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.