Recent content by huruma9

  1. H

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    kero yangu ni kuunganishiwa umeme mimi nko buhongwa mwanza nguzo zimefika hadi kwenye nyumba ila waya wa mita 50 umemosekana nimefuatilia tanesco ofisi za mkolani toka mwezi february hadi leo naambiwa hakuna nyaya mkoa mzima wa mwanza .naomba msaada kwani imekuwa ni kero 0752296496
Back
Top Bottom