kero yangu ni kuunganishiwa umeme mimi nko buhongwa mwanza nguzo zimefika hadi kwenye nyumba ila waya wa mita 50 umemosekana nimefuatilia tanesco ofisi za mkolani toka mwezi february hadi leo naambiwa hakuna nyaya mkoa mzima wa mwanza .naomba msaada kwani imekuwa ni kero 0752296496
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.